Mageuzi Sekta ya maji yawavutia waNigeria.

Timu ya wataalamu wa sekta ya maji kutoka Nigeria imewasili nchini Tanzania kwa lengo la kubadilishana uzoefu kuhusiana na utekelezaji, usimamizi na uendelezaji wa sekta  ya maji.  

Timu hii ya watu 18 imekuja kufuatia mafanikio makubwa ya mageuzi katika sekta ya maji yaliyofanywa na serikali ya awamu ya Sita nchini Tanzania na kuifanya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi bora Duniani  katika utekelezaji wa program mbalimbali za sekta ya maji.


Comments

Popular posts from this blog

Ujenzi wa Mabwawa kusaidia kuondoa changamoto ya maji Dodoma

Wataalamu Sekta ya maji shirikishaneni maarifa – Naibu Waziri Maji

Katibu Mkuu Wizara ya Maji asisitiza matumizi ya mfumo wa taarifa za sekta ya maji (Maji App)